Eneo bunge la Fafi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created page with ''''Jimbo la Uchaguzi la Fafi''' ni mojawapo ya majimbo 210 ya uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Wilaya ya Garissa iliyoko Mk...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 21:50, 29 Januari 2010
Jimbo la Uchaguzi la Fafi ni mojawapo ya majimbo 210 ya uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Wilaya ya Garissa iliyoko Mkoani Kaskazini Mashariki, miongoni mwa majimbo matatu katika wilaya hiyo. Lina wodi sita, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Garissa County.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.
Wabunge
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Ibrahim Mohamed Salat | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Ibrahim Mohamed Salat | KANU | |
1997 | Elias Barre Shill | KANU | |
2002 | Aden Sugow | KANU | |
2007 | Aden Sugow | KANU |
Wodi
Wodi | |
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha |
---|---|
Bura | 962 |
Fafi | 1,319 |
Jara Jila | 402 |
Masabubu | 837 |
Nanighi | 3,060 |
Welmerer | 2,759 |
Jumla | 9,339 |
*Septemba 2005 [2].
|
Tazama Pia
Virejeleo
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Viungo vya Nje