Eneo bunge la Imenti ya Kati : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 21:56, 29 Januari 2010
Jimbo la Uchaguzi la Imenti ya Kati ni moja kati ya Majimbo 210 ya Uchaguzi nchini Kenya. JImbo hili linapatikana katika Wilaya ya Marsabit mkoani Mashariki miongoni mwa majimbo matatu katika wilaya hiyo. Lina wodi nane, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la utawala wa mitaa la Meru Central County.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia
Jimbo hili lilibuniwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.
==Wabunge==
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Kirugi Laiboni M’Mukindia | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Kirugi Laiboni M’Mukindia | KANU | |
1997 | Gitobu Imanyara | Ford-K | |
2002 | Kirugi Laiboni M’Mukindia | NARC | |
2007 | Gitobu Imanyara | CCU |
Wodi
Wodi | |
Wodi | Wapiga Kura waliojiandikisha |
---|---|
Gatimbi | 8,926 |
Kariene | 7,893 |
Katheri | 9,835 |
Kiagu | 7,164 |
Kibaranyaki | 5,338 |
Kibirichia | 12,485 |
Kithirune | 5,973 |
Mwangathia | 10,615 |
Jumla | 68,229 |
*Septemba 2005 [2].
|
Tazama Pia
Virejeleo
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency