Kipanya : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 21:
[[Picha:Mouse_vermin02.jpg|thumb|Panya wa mwituni (field mouse)]]
 
'''Panya''' - pori''' hupatikana katika oda ya wagugunaji, rodents. Spishi inayofahamika sana ni panya pori wa nyumbani. "(Mus musculus)". Pia ni mfugo maalum. Panyapori wenye miguu myeupe (Peromyscus leucopus) na "deer mouse" (Peromyscus maniculatus) huishi kwenye makazi ya watu. Kwenye maeneo mengine, panya wa porini huwa maarufu. Rodenti huyu huliwa na ndege wakubwa kama vile mwewe na tai. Wanafahamika kwa kuhamia makazi ya watu kutafuta chakula na makazi yao.
Japo wakifugwa panya pori hawa huweza kuishi kwa miaka miwili na nusu, kwa kawaida panya-pori huishi kwa wastani wa miezi minne huko porini, kumpakakana na kuwinda mara kwa mara. Jamii za paka, mbwamwitu, ndege, nyoka na hata jamii fulani za arthropods huwawinda sana panyapori. Hata hivyo humpakakana uwezo wao mkubwa wa kuishi mazingira mbalimbali, panyapori huonwa kuwa ndio jamii ya pili kuishi duniani yenye uwezo mkubwa wa kudumu mazingira baada ya binadamu.