Abia (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: yo:Ìpínlẹ̀ Ábíá
d roboti Badiliko: ig:Nkeji Ochíchííwu Abia; cosmetic changes
Mstari 1:
[[ImagePicha:Abia_Nigeria.jpg|thumb|300px|]]
'''Abia''' ni jimbo la kujitawala la [[Nigeria]] lenye wakazi milioni 4.2 (2005) na eneo la 5,834 [[km²]]. [[Mji mkuu]] ni [[Umuahia]] na mji mkubwa [[Aba]] mwenye wakazi 900,000.
 
== Eneo ==
Abia imepakana na majimbo ya Enugu, Ebonyi, Cross River, Akwa Ibom, Rivers, Imo na Anambra. Haina pwani. Mito muhimu ni mto Imo na mto Aba inayoelekea kwenye [[delta]] ya [[mto Niger]].
 
Kusini ya jimbo ni tambarare ya chini yenye mvua nyingi. Maeneo ya kaskazini ni juu kidogo.
 
== Uchumi ==
Uchmi umetegemea hasa kilimo. [[Nafaka]], [[minazi]], [[mahindi]], [[mpunga]], [[muhogo]], matunda na miboga hulimwa.
 
Kuna pia madini yanayochimbwa ni hasa [[zinki]], mchanga, chokaa pia kiasi cha mafuta ya petroli. Abia hukorogwa bia kuna viwanda vya nguo na kioo.
 
== Wakazi ==
Watu wa Abia ni hasa wa kabila la [[Igbo]].
 
{{mbegu-jio-Nigeria}}
[[Category:Majimbo ya Nigeria]]
{{Nigeria}}
 
[[CategoryJamii:Majimbo ya Nigeria]]
 
[[bg:Абия]]
Line 28 ⟶ 29:
[[hu:Abia állam]]
[[id:Abia]]
[[ig:AbiaNkeji StateOchíchííwu Abia]]
[[it:Abia (Nigeria)]]
[[ja:アビア州]]