Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d {{defaultsort}}
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Image:Hans Bethe.jpg|thumb|Hans Bethe]]
 
'''Hans Albrecht Bethe''' ([[2 Julai]], [[1906]] – [[6 Machi]], [[2005]]) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya [[Marekani]]. Alizaliwa katika mji wa [[Strasbourg]]. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya [[atomu]]. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Fizikia'''.