Tufani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: gu:ચક્રવાત; cosmetic changes
Mstari 1:
[[ImagePicha:Animated hurricane.gif|frame|right|Picha ya [[rada]] ya tufani upande wa kaskazini ya [[ikweta]]]]
[[ImagePicha:Cyclone Catarina from the ISS on March 26 2004.JPG|right|thumb|Picha ya tufani jinsi inavyoonekana kutoka [[kituo cha anga]]]]
Tufani ni dhoruba yenye mwendo wa kuzunguka. Inasababishwa na eneo la shindikizo duni la hewa ambako upepo imeanza kuzunguka ndani yake.
 
Mzunguko huu hufuata mwendo wa saa katika maeneo kusini ya ikweta na huenda kinyume cha mwendo wa saa katika maeneo kaskazini ya ikweta.
 
== Chamchela na Kimbunga ==
Tufani ikitokea kwenye nchi kavu huitwa [[chamchela]].
 
Mstari 14:
* katika eneo la [[Bahari Hindi]] na penginepo jina la saikloni (en:cyclone) limetumiwa mara nyingi
 
== Tufani katika anga ya nje ==
Tufani zimetazamiwa pia katika [[falaki]] kwenye sayari za [[mfumo wa jua]] letu kama [[Mshtarii]] na [[Meriki]]. Hasa doa nyekundu kubwa lililoonekana kwenye Mshtarii tangu miaka 178 limetambuliwa kuwa tufani.
 
{{mbegu-sayansi}}
 
[[CategoryJamii:Maafa asilia]]
[[CategoryJamii:Metorolojia]]
 
[[af:Sikloon]]
Mstari 35:
[[fi:Sykloni]]
[[fr:Cyclone]]
[[gu:ચક્રવાત]]
[[he:ציקלון]]
[[hu:Ciklon]]