Madhehebu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Madhehebu''' (kutoka [[Kar.]] مذهب ''madhhab'') ni mafundisho, [[maadili]] na matendo ya [[ibada]] yaliyo ya msingi katika [[dini]] fulani. Hutumiwa pia kutaja kundi ndani ya [[dini]] fulani.
 
Kiasili neno la Kiarabu ''madhhab'' limetaja makundi ndani ya mafundisho ya masharti ya Uislamu yaliyotofautiana juu ya vipengele fulani vya [[shari'a]]. Likaendelea kutumiwa kutaja pia makundi makubwa ndani ya Ukristo na baadaye katika dini nyiginenyingine.
 
==Madhehebu ya Uislamu==
[[Uislamu]] hugawiwa kwa mikono miwili mikubwa ambayo ni [[Wasunni]] na [[Washia]].
 
Washia ndani yao wamagawanyikawamegawanyika katika kundimakundi nyingimengi zaidi.
 
Kati ya Wasunni kuna madhhebumadhehebu au madhhab manne yanayokubaliwa rasmi. Hali halisi makundi mengine ya Kisunni kama [[Wahabiyya]] yanaweza kuitwa dhehebimadhehebu pia. Madhehebu manne yanayokubaliwa kati ya Wasunni ni [[Washafii]], [[Wahanbali]], [[Wamaliki]] na [[Wahanefi]] yaliyopokea majina kutokana na walimu wakuu wa kihistoria [[Muhammad ibn ldris ash-Shafi'i]], [[Ahmad ibn Hanbal]], [[Malik ibn Anas]] na [[Abu Hanifa]].
 
==Madhehebu katika Ukristo==