Mnara wa Babeli : Tofauti kati ya masahihisho
d
roboti Badiliko: tg:Бурҷи Бобул; cosmetic changes
d roboti Nyongeza: ms:Menara Babel |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: tg:Бурҷи Бобул; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Mnara wa Babeli''' ni jengo kubwa linalotajwa katika [[Biblia]] kwenye [[Kitabu cha Mwanzo]] 11:1-9. Kufuatana na taarifa hii mnara ulijengwa pamoja na mji wa [[Babeli]] kama kilele chake.
Mstari 6:
Kihistoria si wazi ni kipindi gani kinachoangaliwa katika simulizi la Mwanzo 11. Inaonekana ya kwamba wasimulizi walikuwa na habari za [[piramidi]] au [[zigurat]] kubwa zilizokuwepo Babeli na penginepo katika [[Mesopotamia]].
== Maelezo ya Kiimani ==
Simulizi limechukuliwa kwa njia mbalimbali katika mapokeo ya Wayahudi na Wakristo.
Mstari 13:
Kwa Wakristo Luka katika kitabu cha [[Matendo ya Mitume]] kwenye [[Agano Jipya]] alitumia mfano wa mnara kama kinyume cha matokeo ya siku ya [[Pentekoste]] ambako watu kutoka lugha mablimbali walipata kuelewana kwa msaada wa [[Roho Mtakatifu]].
== Simulizi la Mwanzo 11, 1-9 ==
11,1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja. <br />
2 Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko. <br />
3 Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa. <br />
4 Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote. <br />
5 BWANA akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu. <br />
6 BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya. <br />
7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao. <br />
8 Basi BWANA akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.<br />
9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo BWANA alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko BWANA akawatawanya waende usoni pa nchi yote.<br />
== Viungo vya Nje ==
{{Commonscat|Tower of Babel|Mnara wa Babeli}}
* [http://www.towerofbabel.info The Encyclopedia of Babel] - collection of references to Babel in history, arts and literature
* [http://www.biblegateway.com/cgi-bin/bible?passage=GEN+11:1-9&language=english&version=KJV&showfn=on&showxref=on Genesis 11 (KJV)]
* [http://www.thebricktestament.com/genesis/the_tower_of_babel/gn11_01-03.html The Tower of Babel] from the Brick Testament.
* [http://www.towerofbabel.com/sections/tome/babelinbiblia/ Babel In Biblia: The Tower in Ancient Literature by Jim Rovira]
* [http://www.christiananswers.net/q-abr/abr-a021.html Is there archaeological evidence of the Tower of Babel?-Christian Source.]
* [http://www.chabad.org/article.asp?AID=246611 Our People: A History of the Jews - The Tower of Babel]
* [http://www.livius.org/es-ez/etemenanki/etemenanki.html Livius.org: The tower of Babel]
* [http://www.frankwu.com/tower.html Tower of Babel] envisioned by science fiction artist [[Frank Wu]]
[[
[[
[[
[[am:የባቢሎን ግንብ]]
Mstari 83:
[[sv:Babels torn]]
[[ta:பாபேல் கோபுரம்]]
[[tg:Бурҷи
[[th:หอคอยบาเบล]]
[[tl:Tore ng Babel]]
|