Tana (ziwa) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: mk:Езеро Тана |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Ziwa
| jina = Ziwa la Tana
| picha = Lake_tana.jpg
▲[[Image:Lake_tana.jpg|thumb|300px|Ziwa la Tana, picha kutoka angani, 1991]]
| nchi =
| kina = 14 m
| kimo = 1.788 m
▲| Mahali: || Nyanda za juu za [[Ethiopia]], ([[Afrika ya Mashariki]])
▲| Eneo la maji: || 2.156 km²
▲| Mito inayoingia: || [[Rib]] na [[Gumara]]
▲| Mito inayotoka: || [[Abbai]] ([[Nile ya buluu]])
▲| Miji mikubwa ufukoni: || [[Bahir Dar]]
▲|}
'''Ziwa la Tana''' ni ziwa kubwa la [[Ethiopia]] na asili ya [[Nile ya Buluu]]. Beseni yake iko taktiban 370 km kaskazini-magharbibi ya [[Addis Ababa]] katika nyanda za juu za Ethiopia.
[[Image:Lake Tana, Ethiopia.jpg|thumb|left|200px|Ziwa la Tana]]▼
Umbo la ziwa limebadilika katika karne iliyopita kutokana na [[mashapo]]. Kamusi ya mwaka 1888 ilitaja kina ya mita 100, lakini leo ni mita 14 pekee. Eneo la ziwa hubadilika na majira ya mvua au ukame yaani kuwa na maji mengi au kidogo. Mito mingi inaingia ziwani ikiwa mikubwa kati yao ni mito ya Rib na Gumara.
Line 33 ⟶ 20:
Eneo la Ziwa la Tana ni kitovu cha kihistoria cha Ethiopia ya Kikristo. Katika visiwa vidogo ziwani kuna makanisa na [[monasteri]] 20 zilizojengwa tangu karne ya 14 [[BK]].
==Picha==
<gallery>
</gallery>
{{Commons|Lake Tana|Ziwa la Tana}}
{{-}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Category:Maziwa ya Ethiopia]]
|