Tobias Asser : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+jamii n.k.
+picha
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Image:TMCasser.jpg|thumb|right|Tobias Asser]]
 
'''Tobias Michael Carel Asser''' ([[28 Aprili]], [[1838]] – [[29 Julai]], [[1913]]) alikuwa mwanasheria kutoka nchi ya [[Uholanzi]]. Alikuwa profesa wa sheria kwenye Chuo Kikuu cha [[Amsterdam]]. Mwaka wa 1899 na tena 1907 alikuwa mwakilishi wa Uholanzi kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa [[The Hague]]. Mwaka wa [[1911]], pamoja na [[Alfred Fried]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] kwa Amani'''.