Siwa barafu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
[[Image:Iceberg.jpg|thumb|right|Siwa barafu inaweza kuwa na umbo kama hili; asilimia kubwa iko chini ya maji]]
 
'''Siwa barafu''' ni kipande kikubwa cha [[barafu]] kinachoelea baharini. Siwa barafu inaweza kusukumwa na mikondo ya baharini hadi kufika kwenye maji ya vuguvugu inapoyeyuka; kinyume chake inaweza kusukumwa dhidi ya maganda makubwa ya barafu inapounganika nayo.
 
==Asili ya siwa barafu==
Kwa kawaida siwa barafu hupatikana kama vipande vinavunjika kwenye [[barafuto]] auinayoishia maganda ya barafu nchanipwani na kuanguka kwenye maji ya bahari. Njia nyingine ni kuvunjika kwa vipande vya maganda ya barafu yanayofunika [[ncha ya kaskazini]] na [[Antaktika]].
 
==Tabia==