Kutazama makala haya katika Kiswahili nenda. [[Jimbo la Nile ya Juu,Sudan]]
:''Makala hii inahusu jimbo la [[Sudan]]. '' ''Kuhusiana na mto, tazama [[Nile]]''
{{Coord|29|32|N|32|40|E|display=title}}
[[File:A'li an-Nil.PNG|thumb|Upper Nile]]
'''Upper Nile''' ({{Lang-ar|أعالي النيل}} inatafsiriwa: ''A'aly an-Nyl'' au ''Aala En Nil'') ni moja ya [[Wilayat]] au majimbo 26 ya [[Sudan.]] Gavana wa sasa wa [[Upper Nile]] ni [[Gatluak Deng Garang.]] Mto wa [[White Nile]] unapitia hapa. Lina ukubwa wa eneo la 22,122 km² na wakaazi wanaokadiriwa kuwa 4,700,000 (2000). [[Malakal]] ndio mji mkuu wa jimbo hili. Mji wa [[Kodok]], ambao ndio mahala pa [[Matukio ya Fashoda ]] yaliyomaliza ''[[Scramble for Africa]]'' , uko katika jimbo hili.
Vituo vya zamani vya mishonari katika jimbo la Upper Nile ni pamoja na [[Dolieb Hill]],[[Lul]] na [[Detwoc.]]