Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 65:
[[Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi]] na [[Western Stima]].Pia naomba kujua jinsi ya kufuatilia wanawikipedia wengine ili nipate kuona jinsi wanavyo andika makala yao.Nimejaribu ku redirect vile umesema,makala ya hapo awali ndo haya [[Upper Nile, Sudan]] na mabadiliko ndo haya [[Jimbo la Nile ya Juu,Sudan]]
shukrani.miye '''[[Mtumiaji:Limoke oscar|Limoke oscar]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Limoke oscar#top|majadiliano]])''' 11:25, 17 Machi 2010 (UTC)
:Redirect au kuelekeza si vigumu. Alama ya 12 juu ya dirisadirisha la kuhariri ni '''#R'''. Baada ya kupeleka maandishi ya "Upper Nile" kwenda "Nile ya Juu" na kuhifadhi, unsrudi "Upper Nile". Bofya hariri, ondoa maanihimaandishi yote. Bofya alama ya Redirect '''#R''' utaona haya: <nowiki>#REDIRECT [[Insert text]]</nowiki>. Katika mabano mraba weka jina jipya yaani "Nile ya Juu". Hifadhi. Tayari. --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Machi 2010 (UTC)
::Nimeona, kumbe. Ulichofanya si vile ninavyoshauri. Yaani muhimu ni kusoma kwanza yale yaliyopo. Tusipate makala mbalimbali juu ya jambo moja kwa majina tofauti. Ukisoma "Sudan" utaona makala mebgu zote za majimbo ziko tayari, pamoja na kigezo (template). Makala hii iko kama mbegu kwa jina "Nile ya Juu". Ukipendelea majina tofauti (jinsi ulivyounda sasa) lazima ufuate kwa mbegu hizi zote za majimbo ya Sudan. Je ni lazima kweli? Sina neno lakini naona afadhali utumie yale yaliyopo ila tu ongeza habari ndani ya mebgu hizi fupifupi. --'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:3839, 17 Machi 2010 (UTC)