Dili : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d The file Image:Díli.PNG has been removed, as it has been deleted by commons:User:Kameraad Pjotr: ''Copyright violation: Reincident copyvio, see history.''. ''Translate me!'' |
||
Mstari 18:
Mji uko upande wa kaskazini ya kisiwa cha [[Timor]] una bandari kuu la nchi pamooja na uwanja wa ndege wa kimatifa. Ni pia mahali pa [[chuo kikuu]] cha Timor ya Mashariki.
Mji ulianzishwa na Wareno mnamo mwaka 1520 ukawa makao makuu ya koloni ya Kireno. Uhuru wa nchi ulitangazwa hapa 1975 uliofuatwa na uvamizi wa [[Indonesia]]. Vita ya ukombozi ilileta uharibifu mwingi.
|