Anaheim, California : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Anaheim CA |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 10:39, 1 Aprili 2010
Anaheim ni mji wa Marekani katika jimbo la California. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 350,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 48 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 131 km².
Jiji la Anaheim | |
Mahali pa mji wa Anaheim Beach katika Marekani |
|
Majiranukta: 33°50′00″N 117°53′00″W / 33.83333°N 117.88333°W | |
Nchi | Marekani |
---|---|
Jimbo | California |
Kitongoji | Orange |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 348,467 |
Tovuti: http://www.anaheim.net/ |
Tazama pia
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Anaheim, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |