Mkoa wa Pwani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d picha
Picha:Tanzania Pwani location map.svg
Mstari 1:
[[ImagePicha:Tanzania_PwaniTanzania Pwani location map.pngsvg|thumb|right|175px|Mkoa wa Pwani katika Tanzania]]
'''Mkoa wa Pwani''' ni kati ya mikoa 26 za [[Tanzania]]. Makao makuu ya mkoa ndipo [[Kibaha]]. Mkoa umepakana upande wa Kaskazini na [[Mkoa wa Tanga|Tanga]], upande wa mashariki na [[Dar-es-Salaam]] na Bahari Hindi, upande wa kusini na [[mkoa wa Lindi]] na upande wa magharibi na [[mkoa wa Morogoro]].
 
Mstari 6:
 
== Wilaya ==
[[Image:Tanzania Pwani.GIF|thumb|left|150px220px|Wilaya za Mkoa wa Pwani]]
Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): [[Wilaya ya Bagamoyo|Bagamoyo]] (230,164), [[Wilaya ya Kibaha|Kibaha]] (132,045), [[Kisarawe]] (95,614), [[Mkuranga]] (187,428), [[Wilaya ya Rufiji|Rufiji]] (203,102) na [[Wilaya ya Mafia|Mafia]] (40,801).