Idd el Fitr : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
mbegu-dini
No edit summary
Mstari 2:
'''Idd el Fitr''' ([[Kiarabu]]: '''عيد الفطر''' ''‘idu l-fiṭr''; pia: '''Eid ul-Fitr''', '''Id-Ul-Fitr''', '''Iddul Fitri''', '''Iddi al Fitr''') ni [[sikukuu]] ya [[Uislamu|kiislamu]] inayomaliza mwezi wa [[Ramadan (mwezi)|Ramadan]]. Kipindi cha kufunga kinamalizika kwenye sikukuu hiyo. Ni sherehe ya siku tatu.
 
Idd el Fitr inaanza mara mwezi wa [[hilali]] umeonekana baada ya Ramadan.

Waislamu huvaa nguo safi mara nyingi nguo mpya na kutoa zawadi kwa maskini. Msikiti[[Misikiti]] na nyumba mara nyingi zimepambwa. Ni nafasi ya kufurahia kati ya Waislamu.
 
{{mbegu-dini}}
 
[[Category:Sikukuu za Uislamu]]
[[Category:Sikukuu]]
 
[[ar:عيد الفطر]]