Baruti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-kemia |
mpangilio |
||
Mstari 1:
[[Image:Pyrodex powder ffg.jpg|thumb|Baruti nyeusi]]
'''Baruti''' ni mchangayiko wa dutu za kikemia inayotumiwa kurusha [[risasi]] kutoka [[bunduki]]. Ina [[mmenyuko]] wa haraka kati ya kemikali zake ikipashwa moto inatoa [[gesi]] nyingi. Kama mmenyuko huo unatokea penye nafasi kubwa inachoma haraka na ghafla lakini kama unatokea mahali unapobanwa kuna [[mlipuko]]. Kwa hiyo baruti ni [[kilipukaji]].
Tabia hii inatumiwa kurusha
Baruti iligunduliwa na Wachina mnamo mwaka 1200. Kuna taarifa kutoka karne ya 13 kuhusu matumizi ya baruti kwa mabomu vitani. Kutoka [[China]] teknolojia ya baruti ilienea magharibi kupitia [[Waarabu]] na kufika [[Ulaya]] katika karne ya 13.
|