Eduard Buchner : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+jamii
+picha
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Image:Eduardbuchner.jpg|thumb|right|Eduard Buchner]]
 
'''Eduard Buchner''' ([[20 Mei]], [[1860]] – [[13 Agosti]], [[1917]]) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya [[Ujerumani]]. Hasa alichunguza [[kimeng'enya]] cha [[hamira]]. Mwaka wa [[1907]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Kemia]]'''.