Arno Penzias : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 2:
 
'''Arno Allan Penzias''' (amezaliwa [[26 Aprili]], [[1933]]) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya [[Marekani]]. Alizaliwa nchini [[Ujerumani]]. Hasa alichunguza [[mnururisho]] wa nyota. Mwaka wa 1978, pamoja na [[Robert Woodrow Wilson]] na [[Pyotr Kapitsa]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Fizikia'''.
 
==Tazmama pia==
* [[Holmdel Township, New Jersey]]
 
{{DEFAULTSORT:Penzias, Arno}}