Wanzilishaji wa akaunti, Warasimu, Watumiaji waliothibitishwa, Interface administrators, IP block exemptions, Wakabidhi
50,036
edits
No edit summary |
No edit summary |
||
Harakati ya uvamizi na utekaji wa Amerika ya Kilatini huitwa kwa Kihispania kwa neno "Conquista" (=utekaji).
Katika karne baada ya [[Kristoforo
Isipokuwa walitangulia kujipatia kibali cha kifalme. Conquistador alipata kibali cha kuvamia eneo fulani kwa jina la mfalme wa Hispania lililoelezwa katika kibali ingawa mara nyingi maeneo hayajulikana bado. Alitakiwa kujenga vituo na miji na kuwapeleka wenyeji wakubali imani ya kikristo yaani ya kanisa katoliki. Kibali kilieleza pia masharti yote kuhusu forodha la bishaa zitakazoingia au kutoka katika koloni mpya. Sehemu ya tano ya mapato yote (= 20%) ya koloni ilitakiwa kulipwa kwa serikali.
|