Wanzilishaji wa akaunti, Warasimu, Watumiaji waliothibitishwa, Interface administrators, IP block exemptions, Wakabidhi
49,107
edits
No edit summary |
No edit summary |
||
[[Image:Cortes-Hernando-LOC.jpg|thumb|200px|[[Hernando Cortes]] conquistador wa Meksiko]]
'''Conquistador''' ''(tamka: kon-kis-ta-dor; uzito kwa silabi ya mwisho)'' ni neno la [[Kihispania]] ya kutaja jumla la wanajeshi, wapelelezi, mabaharia na wengine kutoka [[Hispania]] na [[Ureno]] waliovamia nchi za [[Amerika ya Kilatini]] na [[Pasifiki]] na kuzifanya kuwa [[koloni]] za Kihispania na za Kireno.
Harakati ya uvamizi na utekaji wa Amerika ya Kilatini huitwa kwa Kihispania kwa neno "Conquista" (=utekaji).
|