Puerto Rico : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
rekebisha jamii
No edit summary
Mstari 48:
}}
[[Picha:Rico.png|thumb|left|300px|Ramani ya Puerto Rico]]
''' Puerto Rico''' ni nchi katika [[Bahari ya Karibi]] ambayo ni eneo la kushirikishwa la [[Marekani]] katika visiwa vya [[Antili Kubwa]]. Iko upande wa mashariki ya [[Jamhuri ya Dominika]] na upande wa magharibi ya [[Visiwa vya Virgin]]. Jina la Puerto Rico humaanisha "bandari tajiri".
 
Jina la Puerto Rico kwa [[Kihispania]] humaanisha "bandari tajiri".
Ilikuwa koloni ya [[Hispania]] iliyovamiwa na Marekani tar. [[25 Julai]] [[1898]] wakati wa [[Vita ya Marekani dhidi Hispania]] na kutawaliwa kama [[koloni]] hadi [[1917]] ambako watu wa Puerto Rico walipewa uraia wa Marekani na kiwango cha utawala wa mambo ya ndani. Tangu 1948 gavana imechaguliwa na watu si kuteuliwa tena na rais wa Marekani.
 
Ilikuwa koloni yala [[Hispania]] iliyovamiwampaka ilipovamiwa na Marekani tar.tarehe [[25 Julai]] [[1898]] wakati wa [[Vita ya Marekani dhidi Hispania]] na kutawaliwa kama [[koloni]] hadi [[1917]] ambako watu wa Puerto Rico walipewa [[uraia]] wa Marekani na kiwango cha utawala wa mambo ya ndani. Tangu 1948 gavana imechaguliwa na watu si kuteuliwa tena na rais wa Marekani.
 
Tangu 1948 gavana amechaguliwa na watu, si kuteuliwa tena na [[rais]] wa Marekani.
 
[[Funguvisiwa]] ya Puerto Rico inajumuisha kisiwa kikuu cha Puerto Rico pamoja na visiwa na funguvisiwa vidogo kama vile [[Mona ( Puerto Rico)|Mona]], [[Vieques ( Puerto Rico)|Vieques]], Monito, Desecheo, Caja de Muertos, Pajaros, Icacos, Palominos, Palominitos, Culebrita, na [[Culebra (Puerto Rico)|Culebra]].
 
Puerto Rico si jimbo kamili yala Marekani bali nchi inayojitawala katika mambo ya ndani ilhali siasa ya nje na mambo ya [[uchumi]] hutawaliwa na Marekani.

Wakazi ni raia wa Marekani lakini hawashiriki katika uchaguzi wa rais. Kuna mwakilishi wa Puerto Rico katika [[bunge]] la Washington lakini hapigi kura.
 
Watu wa Puerto Rico humchagua [[Gavana]] na wabunge wao.
 
Watu wa Puerto Rico humchagua [[Gavana]] na wabunge wao. Katika kura za [[1967]] na [[1993]] walikataa kutafuta [[uhuru]] lakini walikataa pia kuwa jimbo kamili la Marekani wakapendelea hali ya eneo la kushirikishwa.