Hagia Sophia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
M-Bot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: th:ฮาเยียโซเฟีย |
No edit summary |
||
Mstari 3:
[[Picha:00058 christ pantocrator mosaic hagia sophia 656x800.jpg|thumb|200px|Mozaiki ya Yesu katika ukuta wa Hagia Sophia]]
'''Hagia Sophia''' ni jina la [[
Jina
Ujenzi wa kanisa ulianzishwa mwaka [[532]] na [[Kaisari]] [[
Mwaka 1453 Waturuki [[Waislamu]] waliteka mji wa Konstantinopoli na kuifanya [[mji mkuu]] wa [[Dola la Osmani]]. Hapo Hagia Sofia likabadilishwa kuwa msikiti na Waturuki wakatamka jina la kigiriki kama "Ayasofya". Jengo la kanisa likaongezekwa minara minne ya mtindo wa Kiislamu.
Baada ya anguko la Waosmani katika [[vita kuu ya kwanza ya dunia]] kiongozi wa taifa [[Kemal Atatürk]] akaamuru jengo liwe makumbusho.
Mstari 21:
{{mbegu-Ukristo}}
[[Jamii:Makanisa]]
[[Jamii:Makumbusho]]
▲[[Jamii:Majengo ya Uturuki]]
[[Jamii:Urithi wa Dunia]]
|