Jeradi Majella : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 04:54, 2 Mei 2010
Jeradi Majella (ambaye alizaliwa tarehe 6 Aprili 1726 huko Muro Lucano, Italia – akafariki tarehe 16 Oktoba 1755 huko Caposele) alikuwa bradha wa shirika la Mkombozi.
Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 29 January 1893 akatangazwa na Papa Pius X kuwa mtakatifu tarehe 11 Desemba 1904.