De Beers : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
De Beer wanamiliki migodi Botswana,south afrika,angola,pia walikuwa wakimiliki mgodi wa Mwadui hapa Tanzania kwa sasa wamiliki ni petra wanaosadikiwa kuwa ni kampuni la De Beers.
De Beers ndilo kampuni la kwanza kwa utajiri afrika wakiwa wana zaidi ya dola milioni saba
Mwanzilishi wa kampuni DE BEERS ni cecil Roder alikuwa ni kabulu kutoka uingereza miaka ya 1886.
Mwanzilishi wa Mwadui mine Dk John Wiliamson ambaye alikuwa mtambuzi wa mawe(geologist)
alibaini kuwepo kwa almas katika eneo hilo miaka ya 193..na kuanza kuchimba kwa kutumia vifaa haba mnamo miaka ya 194..
Alifanikiwa kujenga mamia ya nyumba za wafanyakazi ambazo zipo hadi sasa lakini baadhi zilibomolewa na mameneja wa DE BEERS waliokuwa wakitawala kipindi cha miaka kadhaa iliyopita.
Dr Williamson alifariki mwaka 1958 na kuzikwa Mwadui Mine,baada ya kifo chake serikali ilianza kuuendesha mgodi wa mwadui.
▲ATHANAS FABIAN
DJ AFRO DU
email dj_hunter94@yahoo.com
|