Mto Potomac : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
New page: {{Mto | jina = Mto wa Potomac | picha = Potomac_watershed.png|250px | maelezo_ya_picha = Beseni ya Potomac | chanzo = mpakani wa wilaya za Tucker na Preston katika jimbo la Wes...
(Hakuna tofauti)

Pitio la 15:57, 23 Machi 2007

Potomac ni mto wa mashariki ya Marekani. Chanzo kiko katika jimbo la West Virginia inaishia katika hori la Chesapeake la Atlantiki. Una mwendo wa 665 km na beseni ya 38,000 km².

Mto wa Potomac
Beseni ya Potomac
Chanzo mpakani wa wilaya za Tucker na Preston katika jimbo la West Virginia kwenye 39°11′43″N na 79°29′28″W
Mdomo Atlantiki kwenye hori ya Chesapeake
Nchi Marekani, majimbo ya Maryland, Virginia, District of Columbia, West Virginia
Urefu 665 km
Kimo cha chanzo 933 m
Mkondo 78 hadi 3,963 m³/s
Eneo la beseni 38,000 km²

Mto unapita Washington D.C. mji mkuu wa Marekani.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: