Mtaguso Mkuu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: la:Oecumenicum concilium; cosmetic changes |
No edit summary |
||
Mstari 4:
==Mitaguso saba na umuhimu wake==
'''Mitaguso ya kiekumene''' (
Orodha yake ni kama ifuatavyo:
Mstari 26:
==Mapokezi ya mitaguso saba==
[[Mitaguso]] hiyo saba inakubaliwa hasa na [[Kanisa Katoliki]] na [[Waorthodoksi]], kutokana na msisitizo wao wa [[mapokeo]] na wa [[mamlaka ya kufundisha]] ya waandamizi wa [[
[[Makanisa ya kale ya mashariki]] hukubali mitaguso mitatu ya kwanza tu, na [[Kanisa la Waashuru]] ile miwili ya kwanza. Kukataa maamuzi ya mitaguso iliyofuata ndiyo sababu ya mafarakano yao.
Madhehebu kadhaa ya Kiprotestanti (hasa [[Walutheri]], [[Waanglikana]], [[Wamethodisti]], [[Wamoraviani]]) yanakubali mitaguso hiyo kadiri inavyolingana na
Hivyo Waprotestanti wengi wanashikilia imani juu ya [[Yesu Kristo]], juu ya [[Roho Mtakatifu]] na juu ya [[Utatu]] mtakatifu kama ilivyofundishwa rasmi katika mitaguso ya kwanza.
Mstari 78:
==Msingi wa imani kuhusu mtaguso mkuu==
Kadiri ya imani ya [[Kanisa Katoliki]], [[Yesu]] aliwakabidhi [[Mitume wa Yesu|Mitume]] kumi na wawili uongozi wa [[Kanisa]] wakiwa kundi moja lenye mkuu wake, yaani [[Mtume Petro]].
Vilevile waandamizi wao, yaani maaskofu wote, ni kundi moja na [[Papa]] wa [[Roma]] ndiye mkuu wao. Huyo peke yake, na kundi la maaskofu likiwa pamoja naye na chini yake, ndio wenye [[mamlaka]] ya juu katika Kanisa lote.
|