Chakula : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: iu:ᓂᕿ/niqi, vi:Thực phẩm
No edit summary
Mstari 12:
Protini, mafuta na wanga huleta nishati kwa mwili. Vilevile hukuza mwili yaani tumboni zinapasuliwa katika sehemu asilia zao na kuingizwa katika muundo wa seli za mwili.
 
Chakula kinatoka kwenye mimea na pia kwenye wanayama. Sehemu ya mahitaji yanatoka pia moja kwa moja kwenye mazingira bila kupita mimea au wanyama hasa madini kwa mfano [[chumvi]].
 
Lakini chakula si pekee kazi ya kibiolojia na kifiziolojia kina upande wa kiutamaduni na kijamii vilevile.