Bahari ya Chumvi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Dead sea newspaper.jpg|right|thumb|300px|Mtalii akielea kwenye maji ya Bahari ya Chumvi na kusoma gazeti]]
'''Bahari ya Chumvi''' ([[Kiebrania]]: יָם הַמֶּלַח ''yam ha-melaḥ'' "bahari ya chumvi"; [[Kar.]]:''' ألبَحْر ألمَيّت''' ''al-bahrᵘ l-mayyit'', "bahari ya mauti") ni ziwa lililoko kati ya nchi za [[Israel]], [[Palestina]] na [[Yordani
Ziwa liko ndani ya bonde la [[mto Yordani]] ambalo ni sehemu ya [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki]].
Mwambao wa ziwa ni mahali pa chini kabisa kwenye nchi kavu ya dunia uko mita 400 chini ya [[uwiano wa bahari]]. Kwa sababu hiyo kuna joto kali linalosababisha maji mengi kugeuka mvuke na kuacha [[chumvi]] nyingi na kiasi cha chumvi ni mara tisa kulinganisha na chumvi katika maji ya [[Bahari ya Kati]]. Kiasi hicho kikubwa cha chumvi kimezuia kuwepo kwa samaki ndani yake; uhai wa pekee ni aina za [[bakteria]] na [[algae]].
Kiasi kikubwa cha chumvi kimesababisha [[densiti]] ya maji yake kuwa juu; hivyo mwanadamu [[ueleaji|huelea]] katika maji haya tu bila jitihada yoyote. Watalii hupenda kufika hapa wakiogelea na kujipakia matope ya ziwa yanayosemekana kuwa nia tabia za kuponya magonjwa ya ngozi.▼
▲Kiasi kikubwa cha chumvi kimesababisha [[densiti]] ya maji yake kuwa juu; hivyo
Israel na Yordani zimeanzisha viwanda vinavyosafisha aina mbalimbali za chumvi kwa matumizi ya kibiashara.
Line 13 ⟶ 15:
[[Jamii:Jiografia ya Israel]]
[[Jamii:Jiogafia ya Palestina]]
[[Jamii:Maziwa ya Biblia]]
[[an:Mar Muerta]]
|