Delta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Delta article from anew - i am editing ok... |
narudia makala katika hali jinsi ilivyokuwa kabla ya |
||
Mstari 1:
[[Picha:Nile River and delta from orbit.jpg|thumb|right|300px|Delta ya [[Mto Nile]] inavyoonekana kutoka angani - picha ya [[NASA]]]]
'''Delta''' ni jina kwa ajili ya mdomo wa [[mto]] ukiwa na umbo la la kufanana [[delta (herufi)|herufi ya Kigiriki Δ]] (=delta) sawa na pembetatu.
== Kutokea kwa delta ya mto ==
Umbo hili hutokea kama maji ya mto yanabeba matope, mchanga na [[mashapo]] mengine hadi mdomo wake baharini. Maji ya mto yakiingia baharini hupungua mwendo wake pia nguvu ya kubeba yaliyomo ndani yake. Mashapo yanashuka chini: kwanza sehemu zake nzito nzito kama changarawe, halafu mchanga, halafu udongo. Mashapo haya yanalazwa ganda baada ya ganda na kuimarika hadi kuonekana juu ya uwiano wa maji. Sehemu hizi za mashapo yaliyoimarika zinakuwa kama kizuizi kinacholazimisha mto kugawa mwendo wake. Kwa njia hii mikono mbalimbali inatokea. Mimea inaanza kukua kwenye nchi mpya ikiwa mizizi yao inashika na kuimarisha nchi hii.
Mto unaendelea kupeleka mishapo yake mdomoni na kujenga delta yake ndani ya bahari jinsi inavyoonekana kwenye mto Nile ambako delta imetoka nje ya mstari wa pwani.
Ikiwa bahari ina tofauti kubwa kati ya [[maji kujaa na kupwa]] mdomoni wa mto tena bahari haina kina kubwa hutokea mlango wa mto mwenye umbo la V (kama faneli) kwa sababu mwendo wa maji kujaa na kupwa unazuia kutelemka na kuimarika kwa mashapo.
[[ar:دلتا (حرف)]]▼
== Mito mikubwa yenye mdomo wa delta ==
Pamoja na mto Nile kuna mito mingi mikubwa yenye mdomo wa delta:
[[ast:Delta]]▼
* [[mto Niger]] katika [[Nigeria]]
[[bar:Delta]]▼
* [[mto Zambezi]] katika [[Msumbiji]]
[[br:Delta (lizherenn)]]▼
* [[Amerika]] kuna delta za [[Amazonas]] ([[Brazil]]) na [[Mississippi]] ([[Marekani]])
* [[Asia]] ina delta kubwa za [[Tigris-Euphrates]] ([[Irak]]), [[Indus]] ([[Pakistan]]), [[Ganga]]/[[Brahmaputra]] ([[India]] na [[Bangladesh]]), [[Krishna-Godavari]] na Kaveri ([[India]]), [[Ayeyarwady]] ([[Myanmar]]), Mekong (Vietnam) na [[Yangtse]] ([[Uchina]]).
[[ca:Delta (lletra)]]▼
* [[Ulaya]] kuna delta kubwa za [[Rhine]] ([[Uholanzi]]), [[Rhone]] ([[Ufaransa]]), [[Danubi]] ([[Romania]]), [[Ebro]] ([[Hispania]]), [[Volga]] na [[Lena]] ([[Urusi]])
[[cs:Delta (písmeno)]]▼
[[cy:Delta (llythyren)]]▼
[[da:Delta (bogstav)]]▼
[[Picha:--Korongo Domo-ngazi-- kwenye delta ya Okavango.PNG|thumb|200px|right|[[Korongo Domo-ngazi]] wawili kwenye mkono moja wa delta ya barani ya Okavango]]
[[et:Delta (täht)]]▼
Wakati mwingine delta inatokea barani pasipo na bahari. Kuna hasa aina mbili: ama mto unakwisha barani (hasa kama ni jangwa) au mto unaendelea.
[[en:Delta (letter)]]▼
Huko [[Mali]] kuna delta ya barani ya mto Niger; mto unajigawa kwa mikono mbalimbali katika eneo kubwa la maziwa na maeneo ya matopematope.
Mto wa [[Okavango]] unakwisha kwenye delta yake katika jangwa la [[Kalahari]] ([[Botswana]]). Delta hii ni eneo lenye mimea na wanyama wengi katikati ya jangwa kubwa. Delta inavuta watalii wengi kila mwaka.
[[Jamii:Jiografia]]
[[fa:دلتا (حرف)]]▼
[[
{{Link FA|it}}
[[
[[
[[be-x-old:Дэльта]]
[[
[[bn:বদ্বীপ]]
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[
[[ru:Дельта (буква)]]▼
[[he:דלתה]]
[[simple:Delta (letter)]]▼
[[hi:नदीमुख-भूमि]]
[[
[[hu:Deltatorkolat]]
[[
[[
[[
[[
[[
[[ko:삼각주]]
[[ur:ڈیلٹا]]▼
[[
[[
[[
[[nl:Rivierdelta]]
[[nn:Elvedelta]]
[[no:Elvedelta]]
[[ro:Deltă]]
[[sd:دريائي ٽڪور]]
[[sr:Rečna delta]]
[[sv:Floddelta]]
[[th:ดินดอนสามเหลี่ยมปากแม่น้ำ]]
[[uk:Річкова дельта]]
[[zh:三角洲]]
|