Waraka wa kwanza wa Klementi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 25:
[[Kanisa Katoliki]] linaona waraka huu kuwa ushahidi wa [[mamlaka]] ya Papa, kwa kuwa humo tunaona Klementi I kuingilia kati kwa nguvu matatizo ya kanisa la mbali, wakati [[mtume Yohane]] alipokuwa bado hai na jirani zaidi na Korintho.
==Tafsiri ya [[Kiswahili]]==
Didakè yaani Mafundisho ya Mitume Kumi na Wawili na Waraka wa Mt. Klementi kwa Wakorinto, tafsiri ya B. Santopadre n.k. – ed. E.M.I. – [[Bologna]] 1990 – ISBN 88-307-0321-4
== Viungo vya nje ==
|