Renaissance : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: arz:عصر النهضه |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: ro:Renașterea; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Renaissance''' (pia: '''zama za mwamko''', '''mwamko-sanaa''') ni kipindi cha kihistoria cha [[Ulaya]] kilichoanza kunako miaka ya 1400, na kikafuatiwa na kipindi cha [[Zama za Kati]], ambacho pia kinajulikana kwa jina maarufu kama [[Middle Ages]].
Neno "Renaissance" linatokana na neno la Kifaransa lenye maana ya "kuzaliwa upya". Sababu zilizopelekea kipindi hiki kuitwa hivyo ni kwamba, wakati huo, watu walianza kuwa na shauku ya kujifunza kuhusu mambo ya kale, kwa namna moja au nyingi walijufunza kuhusu mambo ya
Kwa masomo hayo Renaissance ilionekana kama "kuzaliwa upya" kwa masomo hayo. Renaissance mara nyingi ilisemwa kama ndiyo mwanzo wa "modern age".
Mstari 11:
Awali Renaissance ilianzia nchini [[Italia]], lakini punde ikaenea katika Ulaya nzima. Katika Italia kipindi hiki kimegawanyika katika makundi matatu:-
* Renaissance ya Awali.
* Renaissance ya Juu
* Renaissance ya Mwisho ambayo pia huitwa kipindi cha Mannerist.
Kipindi kilichofuata baada ya
== Viungo vya nje ==
* [http://sd71.bc.ca/sd71/school/courtmid/Library/subject_resources/socials/renaissance.htm Links for Middle School students] ''from the Courtenay Middle School Library Collection''
{{stub}}▼
[[
▲{{stub}}
[[af:Renaissance]]
Line 90 ⟶ 89:
[[pms:Arnassensa]]
[[pt:Renascimento]]
[[ro:
[[ru:Эпоха Возрождения]]
[[scn:Rinascimentu]]
|