Shirika la Biashara Duniani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|300px|Nchi wanachama wa WTO; Kijani cheusi: nchi zilizoanzisha WTO mwaka 995; Kijani cheupe: nchi zilizojiunga baadaye '''Shirika ...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:WTO members.svg|thumb|300px|Nchi wanachama wa WTO; <br>Kijani cheusi: nchi zilizoanzisha WTO mwaka
'''Shirika la Biashara Duniani''' (kifupi: '''WTO'''; Kiing. World Trade Organization, WTO; Kifar. Organisation Mondiale du Commerce, OMC; Kihisp. Organización Mundial de Comercio, OMC) ni shirika la kimataifa linaloshughulika utaratibu wa biashara duniani. Shabaha ya kazi yake ni kuondoa kwa vizuizi ya biashara kati ya mataifa. Makao makuu yake yapo [[Geneva]] (Uswisi).
|