Kombe la Mataifa ya Afrika : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
CGN2010 (majadiliano | michango)
No edit summary
Mstari 12:
{{wikinews|Egypt wins 2008 Africa Cup of Nations}}
 
'''Kombe la Mataifa ya Afrika,''' ni [[shindano]] kuu [[]] la kimataifa katika [[Afrika]]. Shindano hili husimamiwa na [[Confederation of African Football]] (CAF), na lilichezwa kwa mara ya kwanza mwaka wa [[1957.]]. Tangu mwaka wa 1968, shindano hili hutendeka baada ya miaka miwli. Wabingwa wa [[FIFA Confederations Cup]] walifuzu katika shindano hili.
 
Katika mwaka wa 1957 kulikuwa na mataifa tatu yaliyoshiriki katika shindano hili ambayo ni : [[Misri]], [[Sudan]] na [[Ethiopia]]. [[Afrika ya Kusini]] walikuwa walikuwa washiriki katika shindano hili lakini walizuiwa kutokana na sera za [[ubaguzi]] hasa serikalini. <ref> http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/cup_of_nations/1709599.stm</ref> Tangu wakati huo, mchuano huu umeenea, na kusababisha michuano ya kufuzu. Idadi ya walioshiriki katikafainali ya shindano hili ilifika 16 katika mwaka 1998 (timu 16 zilikuwa zishiriki katika shinano hili mwaka wa 1996 lakini Nigeria walijitoa na kubakia timu 15), na tangu wakati huo, imebaki kuwa timu 61 ndizo zinashiriki katika shindano hili ,Timu hizi hugawanywa katika vikundi ambavyo kila kundi kina timu nne ambapo timu mbili bora katika kila kundi ndizozilifaulu katika hatua ya ya pili.
 
[[Misri]] ndiyo taifa iliyofanikiwa zaidi katika historia kombe hili kwani wana rekodi ya kushinda kombe hili mara sita. [[Ghana]] na [[Kamerun]]wameweza kunyakuwa ubingwa mara nne. Nyara tatu tofauti zimetunzwa katika historia ya shindano hili. [[Ghana]] na [[Kamerun]]wameshinda matoleo mawili ya kwanza baada ya kila timu kushinda shindano hili mara tatu mfululizo . Nyara iliyo sasa ilitunzwa mara ya kwanza mwaka wa 2002.
Katika mwaka wa 1957 kulikuwa na mataifa tatu yaliyoshiriki katika shindano hili ambayo ni : [[Misri]], [[Sudan]] na [[Ethiopia]]. [[Afrika ya Kusini]] walikuwa walikuwa washiriki katika shindano hili lakini walizuiwa kutokana na sera za [[ubaguzi]] hasa serikalini. <ref> http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/cup_of_nations/1709599.stm</ref> Tangu wakati huo, mchuano huu umeenea, na kusababisha michuano ya kufuzu. Idadi ya walioshiriki katikafainali ya shindano hili ilifika 16 katika mwaka 1998 (timu 16 zilikuwa zishiriki katika shinano hili mwaka wa 1996 lakini Nigeria walijitoa na kubakia timu 15), na tangu wakati huo, imebaki kuwa timu 61 ndizo zinashiriki katika shindano hili ,Timu hizi hugawanywa katika vikundi ambavyo kila kundi kina timu nne ambapo timu mbili bora katika kila kundi ndizozilifaulu katika hatua ya ya pili.
 
 
[[Misri]] ndiyo taifa iliyofanikiwa zaidi katika historia kombe hili kwani wana rekodi ya kushinda kombe hili mara sita. [[Ghana]] na [[Kamerun]]wameweza kunyakuwa ubingwa mara nne. Nyara tatu tofauti zimetunzwa katika historia ya shindano hili.[[Ghana]] na [[Kamerun]]wameshinda matoleo mawili ya kwanza baada ya kila timu kushinda shindano hili mara tatu mfululizo . Nyara iliyo sasa ilitunzwa mara ya kwanza mwaka wa 2002.
 
 
 
Line 36 ⟶ 33:
 
 
Shinano hili lilienea na kuwa na timu tisa ambazo zilishiriki.Shindano hili la [[tatu]] la [[ANC mwaka 1962]]lilikuwa mjini [[Addis Ababa]], na kwa mara ya kwanza kulikuwa na mechi za kufuzu ambapo timu nne zilifuzu kupigania ubingwa. Ethiopia kama mwenyeji Misri kama bingwa tetezi zilipata fursa ya kufaulu mara moja, na kuungwa na Nigeria na Tunisia katika timu nne za mwisho zilizo waania ubingwa. Misri iliweza kucheza fainali kwa mara ya tatu lakini Ethiopia waliwezakushinda, baada ya kupiga Tunisia katika semifinali nakulaza Misri katika [[muda wa ziada]].
 
 
 
Line 50 ⟶ 46:
</ref>
 
[[katika shindano la 1968]] ilibidi mpango wa mchuano huo ubadilike na kuongeza hadi timu 8 zitakazo faulu kati ya timu 22 zilizofaulu katika raundi ya hapo awali. Timu zilizofaulu ziligawanyishwa katika makundi mawili kila kundi likiwa na timu nne ambazo zilicheza michezo ya mizunguko ambapo timu mbili bora zaidi katika kila kundi zilifaulu katika nusu fainali.Mfumo huu uliendelea kutumika katika fainali hadi mwaka wa 1992. [[Jamhuri]] ya [[Kidemokrasia ya Kongo]] iliweza kushinda baada ya kuwachapa Ghana. Kuanzia mwaka wa 1968 shindano hili limekuwa likitendeka baada ya miaka miwili katika miaka iliyo sawa. [[Mchezaji wa mbele wa Ivory Coast , [[Laurent Pokou]] aliongoza kwa mabao katika michuano ya 1968 na 1970 kwa mabao sita mwaka wa 1968 na mabao nane katika mwaka wa 1970 na kuwa na mabao 14 kwa jumla na kushikilia rekodi kwa muda hadi 2008. Shindano hili liliweza kuonyehwa katika runinga mara ya kwanza mwaka wa 1970 likiwa nchini Sudan, <ref name="BBC-1957-1978"></ref>ambayo iliweza kuchukua taji baaada ya kuwashinda Ghana- iliyokuwa ikicheza fainaili ya nne mfululizo.
 
[[katika shindano la 1968]] ilibidi mpango wa mchuano huo ubadilike na kuongeza hadi timu 8 zitakazo faulu kati ya timu 22 zilizofaulu katika raundi ya hapo awali. Timu zilizofaulu ziligawanyishwa katika makundi mawili kila kundi likiwa na timu nne ambazo zilicheza michezo ya mizunguko ambapo timu mbili bora zaidi katika kila kundi zilifaulu katika nusu fainali.Mfumo huu uliendelea kutumika katika fainali hadi mwaka wa 1992. [[Jamhuri]] ya [[Kidemokrasia ya Kongo]] iliweza kushinda baada ya kuwachapa Ghana. Kuanzia mwaka wa 1968 shindano hili limekuwa likitendeka baada ya miaka miwili katika miaka iliyo sawa. [[Mchezaji wa mbele wa Ivory Coast ,Laurent Pokou]] aliongoza kwa mabao katika michuano ya 1968 na 1970 kwa mabao sita mwaka wa 1968 na mabao nane katika mwaka wa 1970 na kuwa na mabao 14 kwa jumla na kushikilia rekodi kwa muda hadi 2008. Shindano hili liliweza kuonyehwa katika runinga mara ya kwanza mwaka wa 1970 likiwa nchini Sudan, <ref name="BBC-1957-1978"></ref>ambayo iliweza kuchukua taji baaada ya kuwashinda Ghana- iliyokuwa ikicheza fainaili ya nne mfululizo.
 
 
 
=== 1970: muongo wa mabingwa ===
Line 60 ⟶ 53:
=== 1980: Kutawala kwa Cameroon na Nigeria ===
Ghana iliweza kunyakua ubingwa mara ya nne mwaka wa 1982 baada ya; kushinda Algeria katika nusu fainali katika muda wa ziada, na kupatana na Libya kama mwenyeji katika fainali . Hii mechi iliisha sare ya bao 1-1 baada ya dakika 120 na Ghana ilishinda [[katika penalti]] na kunyakuwa taji . Kamerun iliweza kuchukuwa taji la kwanza miaka miwili baadaye kwa kushinda Nigeria .Shindano la mwaka wa [[1986]]ilikabiliana na Misri - watoro tangu fainali ya mwaka wa 1962 - Misri ilishinda kupituia penalti. Kamerun iliweza kushiriki katika fainali mara ya tatu mfululizo na kuchukua taji mara ya pili katika [[shindano]] la [[1988]]hii ni baada ya kurudia kuchapa Nigeria mwaka wa 1984. Mwaka wa 1990, Nigeria ilipoteza nafasi ya kuchukua taji walipojiandikisha katika fainali mara ya tatu baada ya kujitokeza katika shindano hili mara nne na kupigwa na Algeria .
 
 
 
=== 1990: Kuwasili kwa Afrika Kusini ===
Mwaka wa [[1992 Kombe la Mataifa ya]] lilipanua mipaka na kuongeza idadi ya washiriki katika fainali ya shindano hili hadi 12; Timu hizi ziligawanywa katika makundi manne Kila kundi lilikuwa na timu tatu ambapo timu mbili za juu katika kila kundi zilifaulu katika robo fainali. [[Mjchezaji wa Ghana]] wa katikati kwa majina kiungo Abedi "[[Pelé]]" Ayew ambaye alifunga bao tatu, alitiwa taji la mchezaji bora wa shindano hili mwaka huo baada ya mchango wake kusaidia Ghana kufuzu fainali; hata hivyo alisimamishwa kucheza mechi hiyo na Ghana kushindwa na Ivory Coast katika mikwaju ya penalty ambako kila pande ilijaribu mara 11 ili kutambua timu itakayoshinda. Cote d'Ivoire waliweza kuweka rekodi katika shindano hili kwa kushinda mechi sita bila kufungwa bao.
 
 
Ule mpango wa timu 12, na tatu kila kundi kundi ulitumika tena miaka miwili baadaye, ambapo [[Tunisia iliyokuwa nyumbani]] iliwezwa kuondolewa katika shindano hili. [[Nigeria]], ambayo ilifaulu katika Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia, ilishinda shindano hili baada ya, kuchapa [[Zambia]], ambayo mwaka kabla ilipatwa na msiba wa maafa ambapo wengi wa wachezaji wao waliaaga dunia katika ajali ya ndege wakielekea katika mchuano wa kufuzu katika kombe la dunia. Mchezaji wa mbele kutoka Nigeria , [[Rashidi Yekini]], aliyekuwa akiongoza kwa mabao wa 1992 aliweza kuongoza tena kwa mabao matano mwaka huo.
 
 
[[Afrika ya Kusini]] iliweza kuwa mwenyeji wa shindano la 20 la [[ANC]] mwaka wa 1996, na kushiriki katika shindano hili mara ya kwanza baada ya kupewa fursa ya kushiriki katika shindano hili walipoacha ubaguzi.Pia walikuwa wamejaribu mwaka wa 1994 lakini hawakufuzu. Idadi ya washiriki katika fainali iliongezeka hadi timu 16 ambazo ziligawanywa katika makundi manne. Hata hivyo, idadi halisi ya timu zilizocheza katika fainali mara ilikuwa15 tu kwani Nigeriailijiondoa katika shkindano hili dakika ya mwisho kwa sababu za siasa katika nchi yao. [11] Timu ya Bafana Bafana iliweza kushinda taji kwa mara ya kwanza kwa kuwalaza Tunisia. Nahodha wa Afrika Kusini Neil Tovey ndiye aliyekuwa mchezaji mzungu wa kwanza kuskika kile kikombe. [13]
Line 82 ⟶ 71:
 
=== Kufuzu ===
Tangu 1962 kumekuwa na michuano ya kufuzu katika fainali . Kutoka 1962-1990 michuano hii ilikuwa na mechi za kurudiwa , na idadi ya raundi ilitegemea idadi ya timu zinazoshiriki Kuanzia 1994 kuendelea timu ambazo zina azma ya kufuzu hugawanywa katika makundi na kucheza na kila timu katika kundi iliyowekwa Mpaka mwaka wa 2006 ambako timu ya nchi ambapo shindano hili litafanyika na mabingwa tetezi zilifaulupapo Kwanzia mwaka wa 2008 timu itakayo fanya shindano hili ndio wanafuzu papo hapo.Fomati ya kufuzu katika shinano hili imekuwa ikibadilikabadilika .Kwanzia mwaka wa 2008 timu 11 ndizo zinazofuzu katika fainali ambazo zinagawanya katika makundi ambayo yana timu nne na moja timu tatu.
Timu zinazoshinda katika kundi ndizo zinafaulu na timu tatu zingine ambazo zina rekodi nzuri