Orange Democratic Movement : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
No edit summary
CGN2010 (majadiliano | michango)
No edit summary
Mstari 1:
{{mergefrom|Chama cha Orange Democratic Movement (ODM)|July 2010}}
{{mergeto|ODM-Kenya}}
 
'''Orange Democratic Movement (ODM)''' au kwa jina kamili '''Orange Democratic Movement Party of Kenya''' ni chama cha kisiasa nchini [[Kenya]]. Kilianzishwa mwaka 2006 katika maandalizi ya uchaguzi wa bunge la Kenya 2007. Katika Agosti 2007 chama kilifarakana kati ya wafuasi wa [[Kalonzo Musyoka]] aliyeendelea kwa [[ODM-Kenya]] na maungano ya viongozi wengi zaidi pamoja na [[Raila Odinga]] walioendelea kama ODM. Sababu ya farakano ilikuwa swali la nani atakuwa mgombea wa urais upande wa ODM.