Chama cha Wananchi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: nl:Civic United Front |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:CUF_partylogo.png|thumb|300px|Nembo ya Civic United Front]]
'''Chama cha Wananchi''' au '''Civic United Front''' ('''CUF''') ni chama cha kisiasa nchini [[Tanzania]]. CUF iliwasilishwa rasmi Januari 1993.
CUF ilianzishwa mwaka 1992 kutokana na maungano ya shirika mbili. Hizi zilikuwa
# '''KAMAHURU''' kikundi cha kupambania demokrasia kwenye visiwa vya [[Unguja]] na [[Pemba]]
# '''Civic Movement''' iliyokuwa kundi la kupigania haki za binadamu la Tanzania bara.
Kama ilivyo katika vyama vingine vipya za Tanzania viongozi wengi waliwahi kuwa wanachama wa [[CCM]].
|