Sumeri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hy:Շումեր |
kiungo |
||
Mstari 2:
'''Sumeri''' ilikuwa kati ya tamaduni za kwanza za juu katika [[Asia ya Magharibi]] na hasa [[Mesopotamia]] ([[Iraq]] ya leo). Labda ilikuwa utamaduni wa kwanza wa kujenga miji.
Sumeri ilianzishwa na kuendelea kwenye nchi yenye rutba kati ya mito [[Frati]] na [[Hidekeli]] tangu mwaka 3,500 [[KK]]. Elimu ya akiolojia iliweza kuthebitisha ya kwamba Wasumeri walijenga miji na kuendeleza [[maandishi]].
Maandishi yao yamehifadhiwa kwa sababu waliandika mengi kwa Wasumeri waliishi katika [[dola-mji|dola-miji]] iliyotawaliwa na [[mfalme|wafalme]] au ma[[kuhani]].
|