Adam Smith : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: af:Adam Smith |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:AdamSmith.jpg|thumb|right|Adam Smith]]
'''Adam Smith''' ([[1723]] - [[17 Julai]] [[1790]]) alikuwa mwanafalsafa nchini [[Uskoti]] aliyeweka misingi kwa
Katika kitabu chake "Uchunguzi juu ya utajiri wa mataifa" (''An Inquiry into the Nature and Causes of the Wealth of Nations'') alieleza ya kwamba kama kila mtu ana nafasi ya kufuatilia faida yake ya binafsi ni afadhali kwa maendeleo ya taifa lote. Aliona njia hii kuwa afadhali kuliko serikali kupanga mambo ya uchumi kwa sababu kila mtu anajua mwenyewe mahitaji na uwezo wake. Aliona ya kwamba
|