Mkoa wa Copperbelt : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{redirect|Copperbelt}} thumb|Mahali pa Copperbelt katika [[Zambia]] '''Mkoa wa Copperbelt''' ni moja ya mikoa...'
(Hakuna tofauti)

Pitio la 16:15, 24 Julai 2010

Mkoa wa Copperbelt ni moja ya mikoa 9 ya kujitawala ya Zambia lenye wakazi 1,581,221 kwenye eneo la 31,328 km². Mji mkuu ni Ndola.

Mahali pa Copperbelt katika Zambia

Jiografia

Miji mikubwa ni pamoja na Kitwe na Chingola.

Luswishi na Kafue ni mito muhimu zaidi.

Picha za Copperbelt


 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Copperbelt kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



 
Mikoa ya Zambia
 
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki
+/-