Göttingen : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
No edit summary
CGN2010 (majadiliano | michango)
No edit summary
Mstari 1:
Mji wa '''Göttingen''' ni mji mmojawapo wa [[Ujerumani]]. Uko upande wa Kusini-Mashariki wa jimbo la [[Saksonia ya chini]] (kwa [[Kijerumani]]: ''Niedersachsen''), na tangu mwaka wa 1965 umehesabika kama mji mkubwa (au jiji) kwa vile umevuka idadi ya wakazi zaidi ya laki moja. Göttingen inajulikana hasa kwa chuo kikuu chake ambacho kimezinduliwa rasmi mwaka wa 1737.
 
{{commonscat}}
{{mbegu-jio-Ujerumani}}