Kalasinga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: an:Sikhismo |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Khanda.jpg|thumb|300px|Khanda ni nembo la Kalasinga.]]
'''Kalasinga''' ([[Kipunjabi]] ਸਿੱਖੀ sikhi; pia: '''Usikhi''') ni [[dini]] yenye asili ya [[Uhindi]] inayomwabudu [[Mungu]] mmoja tu. Wafuasi wake huitwa Kalasinga au Sikh na kitabu kitakatifu chao ni [[Guru Granth Sahib]].
==Uenezi==
[[Picha:GuruNanakwalking.jpg|thumb|200px|left|Picha ya Guru Nanak]]▼
==Historia==
Hapa alianza kufundisha dini ya umoja. Wataalamu wengine wameeleza mafundisho yake kama jaribio la kuondoa matatatizo kati ya Waislamu na Wahindu kwa kutafuta imani ya pamoja iliyojengwa kwenye misingi ya Uhindu lakini kupokea mengi kutoka Uislamu.▼
▲[[Picha:GuruNanakwalking.jpg|thumb|200px|left|Picha ya Guru Nanak.]]
Kalasinga ilianzishwa katika [[karne ya 15]] na [[Guru Nanak]] aliyezaliwa katika [[familia]] ya [[Uhindu|Kihindu]] wakati wa utawala wa [[Uislamu|Waislamu]] juu ya Uhindi ya kaskazini.
Nanak alijishughulihsa na dini tangu utotoni na kwenye umri wa miaka 30 aliondoka katika familia akianza kipindi kirefu cha matembezi. Anasemekana alizunguka kote Uhindi akafika pia [[Makka]] ([[Uarabuni]]), [[Uajemi]] na [[Afghanistan]].
Hakukubali [[ibada]] nyingi za Uhindu, mafundisho na maandiko ya kidini, matabaka katika jamii. Alisikitika kuona jinsi dini ilivyogawa watu.
▲
Guru Nanak alifuatwa na
Tangu guru ya kumi [[Gobind Singh]] walionekana kabisa kama
▲Guru Nanak alifuatwa na maguru tisa wengine. Katikia kipindi hiki polepole Kalasinga waliendelea kuwa jumuiya ya pekee. Waliteswa na na watawala wa Kihindu lakini zaidi na watawala Waislamu. Walianza kubeba silaha na kujitetea na kuwa kundi muhimu katika Punjab.
[[Picha:Kakaars x3.JPG|thumb|200px|Kanga, Kara and Kirpan]]▼
== Kaakar tano ==
▲[[Picha:Kakaars x3.JPG|thumb|200px|Kanga, Kara and Kirpan.]]
▲Tangu guru ya kumi [[Gobind Singh]] walionekana kabisa kama kundi la kidini la pekee. Wanaume hufuata kanuni za "Kaakar tano":
[[Wanaume]] hufuata kanuni za "Kaakar tano":
* kes: nywele ndefu; hawakati [[nywele]] wala [[ndevu]] wakionyesha ya kwamba kila kitu kilichoumbwa na Mungu ni kizuri
* kangha: chanuo dogo -
* kara: bangili ya chuma - alama ya kuwa mali ya guru
* kirpan: upanga mdogo - wawe tayari kutetea [[imani]] na [[haki]]
* kaccha: chupi - inamkumbusha sikhi ya kwamba anahitaji kutawala [[tamaa
Sharti
== Imani kadhaa ==
Kati ya mafundisho ya
* Mungu mmoja tu. Aliumba ulimwengu, anaitunza na mwenye uwezo wa kuumaliza.▼
* Mungu haingii katika maumbile ya kibinadamu.▼
* Shabaha ya maisha ni kujiondoa katika giza ya kiroho na mapendzi ya vitu vya kidunia. Njia yake ni kutakarai na kutamka jina la Mungu.▼
* [[Guru]] wa pekee ni kitabu kitakatifu cha [[Guru Granth Sahib]]▼
* [[Wanawake]] ni sawa na wanaume▼
* Kila kalasinga anatkiwa kuchapa kazi na kuwa mwaninifu▼
* Wote wanatakiwa kushirikiana mafanikio ya kazi yao▼
* kila mmoja anatakiwa kumsaidia mwenzake na hasa mwenye matatizo▼
Kama Wahindu wanaamini ya kwamba [[nafsi]] ya [[binadamu]] huzaliwa tena na tena na shabaha ya dini ni [[ukombozi]] katika mzunguko wa kuzaliwa upya. Ukombozi wanauona katika jina la Mungu na jitihada za kujisafisha kiroho.
▲* Mungu ni mmoja tu. [[Uumbaji|Aliumba]] [[ulimwengu]],
▲* Shabaha ya maisha ni kujiondoa katika [[giza]]
▲* [[Guru]] wa pekee ni kitabu kitakatifu cha [[Guru Granth Sahib]].
▲* [[Wanawake]] ni sawa na wanaume.
▲* Wote wanatakiwa kushirikiana kwa mafanikio ya kazi yao.
== Viungo vya Nje ==
|