Bundesliga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: sr:Бундеслига Њемачке у фудбалу |
sahihisho dogo |
||
Mstari 2:
[[Picha:Deutsche Meisterschale.JPG|thumb|riht|300px|Tuzo ya Kijerumani kwa ajili ya mshindi wa mashindano ya [[mpira wa miguu]].]]
'''Bundesliga''' ni jina la michezo ya hali ya juu katika nyanja za michezo mbalimbali katika [[Ujerumani]] na [[Austria]]. Bundesliga
Timu za mpira zinaingia katika Bundesliga kwakuwa washindi katika moja kati ya ligi ndogo za nchini humo. Timu itakayoongoza katika msimu wa mashindano hayo inaitwa Meister. Meister ni neno la [[Kijerumani]] likiwa na maana ya bingwa au mshindi. Kisheria, msimu wa michezo ya mpira huwa na kawaida ya kuanza mwezi wa sita katika mwaka uliopo hadi mwezi wa sita mwaka unaofuatia.
|