Umoja wa Muungano wa Afrika : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: de, et, it, uk Badiliko: sv
No edit summary
Mstari 1:
{{mergefrom|Muungano wa Afrika}}
[[Picha:Organisation of African unity.PNG|thumb|250px|Nchi za Umoja wa Maungano ya Afrika<br /> <small>buluu: nchi zilizounda OAU;<br />kijani: nchi zilizojiunga hadi 1969<br />kichungwa: nchi zilizojiunga hadi 1979<br />nyekundu:Zimbabwe ilijiunga 1982<br />dhambarau:nchi zilizojiunga tangu 1990</small>]]
'''Umoja wa Muungano wa Afrika''' ([[Kiingereza]]: Organisation of African Unity, '''OAU'''; Kifaransa: Organisation de l'Unité Africaine, OUA) ulikuwa jumuiya ya nchi huru za [[Afrika]] iliyoanzishwa [[1963]] na kudumu hadi [[2002]]. Ulikuwa mtangulizi wa [[Umoja wa Afrika]] ambao ni jumuiya ya nchi za Afrika tangu Julai 2002.