Dola Takatifu la Kiroma : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: es:El Sacro Imperio Romano |
No edit summary |
||
Mstari 1:
:''Dola Takatifu la Kiroma si sawa na [[Dola la Roma]] la Kale.''
[[Picha:Imperial Circles-2005-10-15-en.png|thumb|350px|Ramani ya Dola Takatifu la Kiroma yaonyesha mikoa yake.]]
[[Picha:Holyromanempire.png|thumb|350px|Maeneo ya Dola Takatifu la Kiroma pamoja na mipaka ya nchi za
'''Dola Takatifu la Kiroma''' ([[Kijerumani]]: '''''Heiliges Römisches Reich''''', [[Kilatini]]: '''''Sacrum Romanum Imperium''''')
Mipaka yake yalibadilika mara kadhaa katika [[karne]] nyingi za kuwako kwake. == Tabia za Dola ==
Maeneo hayo yalikuwa na kiwango kikubwa cha kujitegemea yakitawaliwa na makabaila wa ngazi mbalimbali na ma[[askofu]] wa [[Kanisa Katoliki]] au yakiwa miji huru.
Halikuwa dola la kisasa na vyombo vya dola vilikuwa vichache. Kaisari alitegemea hasa mali yake ya binafsi pamoja na haki ya kuthebitisha watu waliopokea vyeo mbalimbali. Tangu 1438 hadi 1806 cheo cha Kaisari kilibaki katika familia ya [[Habsburg]] waliotawala [[Austria]]. ▼
▲Halikuwa dola la kisasa,
Tangu [[1438]] hadi [[1806]] cheo cha Kaisari kilibaki katika familia ya [[Habsburg]] waliotawala [[Austria]].
== Chanzo baada ya Karolo Mkuu ==
Asili ya dola lilikuwa milki ya [[Karolo Mkuu]] aliyefaulu kuunganisha Ujerumani, [[Ufaransa]] na Italia chini yake. Mwaka [[800]] alipokea cheo cha Kaisari wa Roma kutoka
Hatua hii ilichukuliwa kama kuendelezwa kwa Dola la Roma la Kale katika magharibi ya Ulaya hata kama hali halisi ilikuwa kwamba milki ya Karolo ilikuwa milki ya [[Wafranki]] na [[Wagermanik]] wengine na taasisi zote za [[Roma ya Kale]] zilikuwa zimeshakwisha kabisa katika magharibi ya Ulaya.
Karolo aligawa urithi wake kati ya wanake na hii ilikuwa chanzo cha Ufaransa upande wa magharibi na Ujerumani upande wa mashariki. Cheo cha Kaisari kiliendelea upande wa mashariki. Hivyo Ufaransa iliendelea kuwa ufalme wa nchi moja lakini upande wa mshariki Wajerumani waliunganishwa pamoja na watu jirani chini ya Kaisari aliyekuwa pia mkuu wa Italia ya Kaskazini, [[Bohemia]] (Ucheki) na sehemu mbalimbali ambazo leo hii ni ama Ufaransa au Ubelgiji na Uholanzi.▼
Yaliyobaki ya Roma ya Kale yaliendelea [[Ulaya]] mashariki kwa umbo la [[Milki ya Bizanti]].
Mjerumani wa kwanza aliyepokea ukaisari kutoka kwa papa wa Roma alikuwa [[Otto I]] mwaka [[962]]. Dola likaendelea hadi 1806 wakati [[Napoleon]] alipoifuta. Jina la "Dola Takatifu la Kiroma" lilianza kutumiwa tangu 1100 likaitwa baadaye pia "Dola Takatifu la Kiroma la Wajerumani".▼
Lakini makaisari walijenga hoja la "translatio imperii" (kwa Kilatini: ukabidhi wa mamlaka) la kuwa mamlaka ya Kaisari yaliyokuwa na Waroma wa Kale na sasa yalikabidhiwa kwa Wajerumani.
▲Karolo aligawa urithi wake kati ya
Mjerumani wa kwanza aliyepokea ukaisari kutoka kwa [[Papa]] wa [[Roma]] alikuwa [[Otto I]] mwaka [[962]].
Dola likaendelea hadi [[1806]] wakati [[Napoleon]] alipolifuta.
▲
== Matatizo ya Dola ==
Hadi [[karne ya 13]] dola lilikuwa na nguvu. Baadaye maeneo ndani yake
Mwishoni Tangu [[karne ya 16]] dola halikuwa na uwezo tena wa kufuata siasa ya nje kwa pamoja isipokuwa dhidi ya [[Waturuki]] [[Waosmani]] walioshambulia mara mbili [[Vienna]], [[mji mkuu]] wa makaisari ([[1529]] na [[1683]]).
Dola lilifaulu kwa kiasi fulani kutunza [[amani]] au angalau
Tangu [[karne ya 17]] majirani kama Ufaransa na [[Sweden]] walijiingiza
Vita
{{mbegu-historia}}
Line 35 ⟶ 55:
[[Jamii:Historia ya Ujerumani]]
[[Jamii:Historia ya Ulaya]]
{{Link FA|de}}
|