Fahrenheit : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: so:Faaranhaayt |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ka:ფარენჰეიტი; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Fahrenheit''' (kikamilifu '''vizio vya fahrenheit''') ni kipimo cha [[halijoto]]. Alama yake ni '''°F'''.
Skeli ya fahrenheit ilibuniwa 1724 na mwanafizikia [[Ujerumani|Mjerumani]] [[Daniel Gabriel Fahrenheit]]. Ilikuwa skeli ya kupima halijoto iliyotumiwa sana duniani lakini wakati wa karne ya 20 skeli ya [[selsiasi]] ilichukua nafasi yake kwa sababu inalingana na [[vipimo sanifu vya kimataifa]]. Leo hii fahrenheit hutumiwa hasa [[Marekani]] na nchi chache nyingine kama [[Belize]].
Kwenye skeli ya fahrenheit scale kiwango cha kuganda kwa maji ni 32
== Mifano ==
* Maji huganda kwa 32
* Chumba kwa kawaida kinatakiwa kuwa na 70
* Halijoto ya mwili wa kibinadamu uwa na 98.6 °F.
* [[Sifuri halisi]] iko kwa –459.67
== Tazama pia ==
* [[Selsiasi]]
* [[Kelvini]]
▲[[Category:Vipimo]]
[[ar:فهرنهايت (وحدة قياس)]]
Line 46 ⟶ 45:
[[it:Fahrenheit]]
[[ja:華氏]]
[[ka:ფარენჰეიტი]]
[[ko:화씨]]
[[ku:Farinhayt]]
|