Utume : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
UTUME: Ni wito wa kumtaka mtu kutumikia ufalme wa Mungu Muumbaji kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo |
No edit summary |
||
Mstari 1:
Utume ni hali ya kusikia sauti ya rohoni na kuitika kutumika sawasawa na kusudio la Neno la Mpakwa Mafuta wa Mungu (Yesu Kristo). Ni wito wa kumtaka mtu kutumikia ufalme wa Mungu Muumbaji kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo. Ni fukuto la Kiroho zaidi ndani ya Roho ya mtu yenye kuigusa nafsi kutenda matendo ya Yesu Kristo kama alivyofanya wakati wa uhai wake akiwa na wanafunzi wake (Mitume). Aliwachagua na kuwatuma
|