Wimbo Ulio Bora : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ca:Càntic dels càntics |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Ondoa: ro:Cântarea Cântărilor; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
'''Wimbo Ulio Bora''' (kwa [[Kiebrania]] '''שיר השירים''' ''Shir ha-Shirim''), ni kitabu kimojawapo cha [[Tanakh]] ([[Biblia ya Kiebrania]]) na hivyo pia cha [[Agano la Kale]] katika [[Biblia ya Kikristo]].
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[
== Utunzi wake ==
Ingawa mapokeo yanamtaja mfalme Solomoni kama mtunzi, wataalama wanaona ni kazi ya mwandishi wa [[karne ya 4 K.K.]] aliyekusanya nyimbo mbalimbali za mapenzi.
== Aina ya uandishi ==
Ni kati ya vitabu vya kishairi na vya pekee zaidi katika Biblia, kwa kuwa kinaimba mahaba ya wapenzi wawili, ambao wanatafsiriwa kama wawakilishi wa [[Mungu]] na taifa lake, kadiri ya moja kati ya mafundisho makuu ya ufunuo, linalotokana na nabii [[Hosea]].
Mstari 13:
Ndio ujumbe wa kitabu: upendo kati ya mume na mke unaweza na kutakiwa kufanana na ule kati ya [[Yesu Kristo]] na [[Kanisa]] lake.
== Viungo vya nje ==
[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/Song/ Kitabu cha Wimbo Ulio Bora katika [[tafsiri]] ya [[Kiswahili]] (Union Version)]
{{Biblia AK}}▼
▲[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]
▲{{Biblia AK}}
[[ar:سفر نشيد الأنشاد]]
Line 58 ⟶ 54:
[[pt:Cântico dos Cânticos]]
[[qu:Takikunap takin]]
[[ru:Песнь песней Соломона]]
[[sh:Pesma nad pesmama]]
|