Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
rekebisha jamii |
d clean up using AWB |
||
Mstari 2:
'''Uchaguzi Mkuu wa [[Kenya]] wa 1992''' ambao ulifanyika tarehe 29 Desemba, ndio ulikuwa wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi.
Matokeo yake yalikumbwa na madai ya kuibwa kwa masanduku ya kupiga kura, madai ambayo yalizua vita vya kukabila katika [[Mkoa wa Rift Valley]]. [[Tume ya Kutetea Haki za Kibinadamu]] iliwalaumu viongozi wengi wakuu akiwemo aliyekuwa rais [[Daniel Arap Moi]] makamo wake wa wakati huo [[George Saitoti]] kwa kuwachochea wananchi na kupanga vita hivyo.
==Matokeo ya Urais==
Mstari 203:
{{Kenyan elections}}
[[
[[
[[
[[en:Kenyan general election, 1992]]▼
{{kenya-stub}}
{{africa-election-stub}}
▲[[en:Kenyan general election, 1992]]
|