Bahari ya Mediteranea : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tk:Ortaýer deňzi |
d clean up using AWB |
||
Mstari 1:
[[Picha:
[[Picha:
'''Bahari ya Mediteranea''' (pia: '''Bahari ya Kati''') ni [[bahari ya pembeni]] ya [[Atlantiki]] kati ya mabara ya [[Afrika]], [[Ulaya]] na [[Asia]] ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5
Neno "Mediteranea" limetokana na lugha ya [[Kilatini]] likiunganisha maneno ya "medium" (inamaanisha "kati ya, katikati") na "terra" (inamaanisha "bara"). Kwa hiyo neno lenyewe linamaanisha "Bahari katikati ya bara".
|